Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Margareth Zziwa,
akiwa na Kamati ya Uongozi wa Bunge hilo, walipotembelea ukumbi mpya wa Bunge
la EALA uliopo kwenye jengo la Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki
Jijini Arusha Tanzania, tayari kwa kikao cha Bunge kinachotarajiwa kuanza
tarehe 18/08/2013. 2. Spika ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi - EALA
pamoja na Wabunge wanaounda Kamati ya Uongozi, wakionyesha nyuso za furaha
walipokuwa katika ziara ya kutembelea ukumbi mpya wa bunge hilo Jijini Arusha. (Picha na Mukhtar Abdul wa EAC)
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment