Miili ya askari wa
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ikiwasili katika Uwanja
wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, askari hao
walikuwa wakilinda Aman Darfur Sudan. Miili hiyo itaagwa kwa heshima
zote siku ya Jumatatu Julai 22 Makao Mkuu ya Wizara ya Ulinzi Upanga
jijini Dar es Salaam.
Askari
wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakiwa wamebeba moja
ya masanduku saba yenye miili ya askari wa jeshi hilo waliofariki
Darfur, Sudan wakati wakilinda amani, baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam leo alasiri.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment