Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, July 12, 2013

AMINI KAIBUKA NA 'WHY MIMI'



Na Elizabeth John
Pia alisema anatanguliza audio kwa lengo la kuwaweka sawa mashabiki wake, ikiwa ni pamoja na kuwatayarisha kwa ajili ya kazi zake nyingine ambazo zinakuja hivi karibuni.


MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Amini Mwinyimkuu ‘Amini’, anatarajiwa kuachia kibao chake kipya kinachokwenda kwa jina la ‘Why Mimi’.
Amini, amesema katika kazi hiyo ameshirikiana vyema na msanii Barnaba Elias iBarnaba Boy’ anaamini kazi hiyo itapokelewa vyema na kushika chati katika tasnia ya muziki huo kutokana na uwepo wa mwanamuziki huyo anae bamba katika tasnia hiyo.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Amini alisema yupo katika hatua za mwisho za uandaaji wa kibao hicho, ambacho amekitengeneza katika Studio ya Surround Records chini ya mtayarishaji wake maarufu, Emma The Boy.
“Naomba mashabiki wangu wakae mkao wa kula kwa ajili ya kukipokea kibao hiki, ambacho naamini kitaelimisha na kuburudisha jamii inayotuzunguka,” alisema Amini.

No comments :

Post a Comment