Baadhi ya vijana wanaofanya shughuli zao kando kando ya barabara ya Uhuru Dar es salaam eneo la Malapa wakicheza mchezo wa bao mchezo huo uliopata umaarufu mkubwa miaka ya nyuma ulikuwa ukuchezwa na wazee pekee rakini kwa sasa vijana wamekuwa wakiufatilia na kuucheza kwa ustad mkubwa kushoto ni Jagani Ndizi na Omari Kijungujiko PICHA NA BLOG YA SUPER D |
BREAKING NEWZZZZZ, ENEO LA HIFADHI NGORONGORO LASHINDA TUZO YA KUWA KIVUTIO
BORA CHA UTALII BARANI AFRIKA MWAKA 2025
-
Eneo la Hiafadhi ya Ngorongoro limetangazwa na kushinda tuzo ya kuwa
kivutio bora cha utalii Barani Afrika kwa mwaka 2025.
Ngororngoro imeibuka kidede...
7 hours ago
No comments :
Post a Comment