Baadhi ya vijana wanaofanya shughuli zao kando kando ya barabara ya Uhuru Dar es salaam eneo la Malapa wakicheza mchezo wa bao mchezo huo uliopata umaarufu mkubwa miaka ya nyuma ulikuwa ukuchezwa na wazee pekee rakini kwa sasa vijana wamekuwa wakiufatilia na kuucheza kwa ustad mkubwa kushoto ni Jagani Ndizi na Omari Kijungujiko PICHA NA BLOG YA SUPER D |
MAKALLA,LAIZER WAZINADI FURSA ZA UTALII NA UWEKEZAJI NGORONGORO
-
Naibu Kamishna wa Uhifadhi, Huduma za Shirika Ngorongoro Bw. Aidan Makalla
(kulia) akiwa ameambatana na Abdiel Laizer Afisa Utalii Mkuu Msaidizi
amekutan...
3 hours ago
No comments :
Post a Comment