Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, July 28, 2013

WAZIRI WASIRA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO-MAGU




Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Magu, Aileen Geofrey akimwonyesha kwa kuandika ubaoni, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu Stephen Wasira kwamba anajua kusoma na kuandika, baada ya Waziri Wasira kumuuliza kama anajua mambo hayo. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Magu, Jacqueline Liana    Waziri Wasira alikuwa wilayani Magu, mkoani Mwanza juzi (24.7.2013) kwa ziara ya siku moja kukagua miradi ya maendeleo.
Mwenyekiti wa kikundi cha wanawake wajasiriamali cha Tujikomboe wilayani Magu, Maria Mwita akimweleza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu Stephen Wasira,shughuli mbalimbali zinazofanywa na kikundi hicho, Waziri Wasira alikuwa katika ziara ya siku moja wilayani Magu, mkoani Mwanza 
 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira,akimpongeza baada ya kumkabidhi hati ya kukamilisha mradi wa jamii Mwenyekiti wa Mtaa wa Ibidanja Ponsian Garimo,baada ya kukagua madarasa matano ya Shule ya Msingi Magu ambayo yalijengwa na TASAF kwa kushirikiana na wananchi. Waziri Wasira alikuwa wilayani Magu, mkoani Mwanza juzi (24.7.2013) kwa ziara ya siku moja kukagua miradi ya maendeleo
WACHEZAJI wa kikundi cha utamaduni cha Mwanalyaku Cultural Troupe cha wilayani Magu, mkoani Mwanza, wakitoa burudani wakati wa ziara ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira alipotembelea juzi (24.7.2013) kijiji cha Kitongosima kilichopo katika wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, kukagua shughuli za maendeleo.

No comments :

Post a Comment