Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, July 8, 2013

Umoja wa Mataifa yanyakua Tuzo Maalum katika Maonyesho ya 37 ya Biasharaya Kimataifa jijini Dar


photo (26)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Banda la Shirika la Umoja wa Mataifa kwenye maonyesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa yaliyofikia tamati jana kwenye viwanja vya Mwl. Julius Nyerere jijini Dar. Waziri Mkuu aliambatana na Waziri wa Viwanda na Biashara Dk. Abdallah Kigoda pamoja na Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Dk. Alberic Kacou.
photo (29)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda ( wa pili kushoto) akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa Wajasiriamali wanaofadhiliwa na UNIDO kwenye banda la Shirika la Umoja wa Mataifa akiwa ameambatana na Waziri wa Viwanda na Biashara Dk. Abdallah Kigoda (kushoto) pamoja na Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Dk. Alberic Kacou (wa pili kulia) wakati wa sherehe za kufunga Maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa jijini kwenye viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere.
photo (33)
Tuzo maalum waliyokabidhiwa shirika la Umoja wa Mataifa nchini kwa kutambua mchango wao wa kuhamasisha Jamii (UN Special recognition for community awareness) wakati wa sherehe za kufunga Maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, kwenye viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere.

No comments :

Post a Comment