Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, July 29, 2013

LHRC YATOA TAARIFA YA NUSU MWAKA YA MATUKIO MBALIMBALI NCHINI KUANZIA JANUARY-JUNE 2013



1 Mtafiti wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu  (LHRC), Pasience Mlowe (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana Julai 29, 2013, wakati akitoa taarifa ya nusu mwaka ya kuanzia  Januari hadi Juni 2013 ya kituo hicho kuhusu mambo  mbalimbali yaliyotokea nchini. Kushoto ni Mkurugenzi wa Uwezeshaji na Uwajibikaji wa Kituo hicho Imelda Urio. 2 Mkurugenzi wa Uwezeshaji na Uwajibikaji wa Kituo  hicho Imelda Urio, akizungumza katika mkutano huo.
3 Mtafiti wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Pasience Mlowe (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana. Wengine ni watafiti wa kituo hicho
4Baadhi ya waandishi wa habari waliodhuria mkutano  jana.PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE.

No comments :

Post a Comment