Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, July 8, 2013

PAMBANO LA HALIMA MDEE NA JACQUELINE WOLPER HAKUNA MBABE


 Mbunge wa Kawe Halima Mdee (kushoto) akichana na Msanii wa Bongo Movie, Jacqueline Wolper, wakati wa Tamasha maalum la Usiku wa Matumaini, lililofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Katika pambano hilo Mabondia hao walitooka sare kwa pointi.
 Bondia Halima Mdee akiingia kwa mbwembwe.
Wolper akipanda ulingoni kwa mbwembwe.

No comments :

Post a Comment