Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, November 12, 2013

BREAKING NEWS:DR SENGODO MVUNGI AFARIKI DUNIA MCHANA



Taarifa zilizotufikia dawati letu la habari Muda huu kutoka kwa Mdau wetu Chrispine Selenga Nyagawa zinasema kuwa Dr Sengodo Mvungi amefariki dunia Mnamo Majira ya Saa Tisa na Nusu mchana leo akiwa katika Hospitali ya Milpark iliyopo Afrika Kusini Alipopelekwa Kwaajili ya Matibabu zaidi Kutokana na Kujeruhiwa na watu wanaodhaniwa kuwa Ni Majambazi walipovamia nyumbani kwake.

Mungu ailaze Roho ya Marehemu Mahali Pema Peponi.

Tutaendelea kuwajuza kadri taarifa zinavyotufikia na tunaendelea kufuatilia habari hii.

No comments :

Post a Comment