Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, November 10, 2013

MABONDIA SAID MBELWA , SHABANI KAONEKA WAPIMA UZITO KUPAMBANA LEO JUMAPILI NOVEMBA 10 PUGU KILUMBA




Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi ambaye ni mratibu wa pambano hilo Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwainua mikono juu mabondia Shabani Kaoneka Kushoto na Said Mbelwa baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika Novemba 10 siku ya jumapili katika ukumbi wa Zulu Paradies Pugu Kilumba kesho 
Bondia Shabani Kaoneka kushoto na Said Mbelwa kulia wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito katikati ni mratibu wa mpambano huo Rajabu Mhamila 'Super D'
Bondia Said Mbelwa akipima uzito kushoto ni mpinzani wake Shabani Kaoneka na kulia ni mratibu wa mpambano huo Rajabu Mhamila Super D' mpambano utakaofanyika jumapili ya novemba 10 katika ukumbi wa Zulu Paradies pugu kilumba 
Bondia Shabani Kaoneka akipima uzito kwa ajili ya mpambano huo kushoto ni mpinzani wake said Mbelwa na kulia ni mratibu wa mpambano huo Rajabu Mhamila 'Super D' PICHA NA www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments :

Post a Comment