Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, November 12, 2013

WASHIRIKI WA TANZANIA TOP MODEL 2013 WAENDELEA KUJIFUA NA MAZOEZI


  Baadhi ya washiriki wa Shindano la Tanzania Model 2013 kati ya washiriki wote 14 wameanza mazoezi ya pamoja katika kambi yao iliyopo katika Hoteli ya JB Belmont kujiandaa na mchuano wa kuwania taji la uanamitindo bora wa mwaka 2013.
 Wanamitindo hao wako na hali ya mashindano huku mwalimu wa mazoezi ya miondoko ya kimaonyesho akiwa na kazi kubwa ya kuhakikisha kila mwanamitindo anaiva kimazoezi.
Wanamitindo hao wakijifua.

No comments :

Post a Comment