Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, November 10, 2013

MABONDIA SAID MBWELWA AMSAMBALATISHA SHABANI KAONEKA NA KALAMA NYILAWILA AMKALISHA KAMINJA RAMADHANI RAUNDI YA KWANZA



Bondia Said Uwezo kushoto akipambana na Sindano Paul  wakati wa mchezo wao uliofanyika jumapili katika ukumbi wa Zulu paradaise pugu kulumba Dar es salaam uwezo alishinda kwa point mpambano huo Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Refarii Saidi Chaku katikati akimnyosha mkono juu bondia Said Uwezo baada ya kumshinda kwa point mpinzani wake

Mabondia Kaminja Ramadhani kushoto na Kalama Nyilawila wakioneshana umwamba wa kutupiana makonde wakati wa mpambano wao uliofanyika jumapili Kalama alishinda kwa K,o ya raundi ya kwanza Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Twalibu Mchanjo kushoto akipambana na Mohamed Kashinde wakati wa mpambano wao uliofanyika jumapili Mchanjo alishinda kwa K,o ya raundi ya tatu katika mpambano uho uliokuwa wa kusisimua picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Shabani Kaoneka Kushoto akipambana na Saidi Mbelwa wakati wa mpambano wao uliofanyika jumapili Mbelwa alishinda kwa K,O ya raundi ya kwanza baada ya kumkalisha chini kwa konde kali na kushindwa kuendelea  picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Shabani kaoneka akiwa chini oi uku akiesabiwa na refarii kulia ni mpinzani wake Said Mbelwa akimsubili kwa hamu hata hivyo mbambano huo ulisha hapo hapo na mbelwa kufanikiwa kushinda kwa k,o ya raundi ya kwanza picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments :

Post a Comment