Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, November 6, 2013

UZINDUNZI WA KITABU CHA DAWA NA MATIBABU




 Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk, Hussein Mwinyi  (kulia) akizindua kitabu cha  Orodha ya Dawa muhimu na matibabu  katika hafla iliyofanyika jana jioni kwenye ukumbi wa  mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius  Nyerere jijini Dares Salaam. Kushoto ni Mfamasia Mkuu kutoka wizara hiyo, Henry   Ilunde.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk, Hussein Mwinyi  (kulia) akimkabidhi  Kaimu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, ambaye pia ni Kamshina wa Ustawi wa Jamii, Danford Makala (kushoto)  kitabu cha  Orodha ya Dawa muhimu na matibabu  katika hafla iliyofanyika jana jioni kwenye ukumbi wa  mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius  Nyerere jijini Dares Salaam.
Picha na Magreth Kinabo –Maelezo.

No comments :

Post a Comment