Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, November 1, 2013

UZINDUZI WA REAL UNIQ TZ WAFUNIKA JIJINI DAR



 Mkurugenzi Fabak Fashion, Asia Idarous Khamsin akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa Kampuni ya Real Uniq Tz jijini Dar es Salaam jana usiku. Uzinduzi huo ambao ulijaza umati wa watu katika ukumbi wa Samaki Samaki uliopo mtaa wa Samora.

Kampuni hiyo itakuwa inashughulisha na shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na Utengenezaji wa Matangazo ya Biashara, Modeling/Mitindo Uratibu wa Shughuli mbalimbali pamoja na Mabausa.SOURCE: FATHER KIDEVU BLOG.
Asia Idarous alisema kuwa uwepo wa kampuni hiyo ya kwanza nchini inayotoa huduma hizo italeta ufanisi hasa katika tasnia ya mitindo ambapo hutumia zaidi warembo katika maonesho ya mavazi.
 Mmoja wa mamodel wa kampuni ya Real Uniq Tz akipita jukwaani akiwa amevalia kivazi cha Kanga kilichobuniwa na na Asia Idorous wa Fabak Fashion.
 Asia akiwa na Models waliovalia vazi la kanga za Tanzania kutoka Faback Fashion.
 Burudani kutoka Michael Jackson wa Tanzania ilikuwepo.
 Baaadhi ya warembo walioshiriki shindano la Miss Tanzania 2013 wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa uzinduzi huo.
 Hii ndo ilikuwa tatu bora ya Miss Tanzania 2013, Miss Tz, Happiness Watimanywa (katikati) akiwa na Latifa Mohamed (kushoto) na Clara Bayo.

No comments :

Post a Comment