Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, November 6, 2013

SHABANI KAONEKA AJIFUA KWA AJILI YA SAID MBELWA November 10


Bondia Shabani Kaoneka kulia  akioneshana umwamba wa kutupiana masumbwi na Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi ya Kaoneka anayejiandaa na mpambano wake na Said Mbelwa utakaofanyika November 10 jumapili hii katika ukumbi wa Paradise uliopo Pugu Kirumba Dar es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Shabani Kaoneka kulia  akioneshana umwamba wa kutupiana masumbwi na Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi ya Kaoneka anayejiandaa na mpambano wake na Said Mbelwa utakaofanyika November 10 jumapili hii katika ukumbi wa Paradise uliopo Pugu Kirumba Dar es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com


Bondia Shabani Kaoneka kushoto  akioneshana umwamba wa kutupiana masumbwi na Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi ya Kaoneka anayejiandaa na mpambano wake na Said Mbelwa utakaofanyika November 10 jumapili hii katika ukumbi wa Paradise uliopo Pugu Kirumba Dar es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Shabani Kaoneka akitupo konde lililokwepwa na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi yanayo enderea katika kambi Ilala  Amana Dar es salaam kaoneka anajiandaa na mpambano wake  na Saidi Mbelwa utakaofanyika jumapili hii katika ukumbi wa paradise Pugu Kirumba Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Shabani Kaoneka kulia  akioneshana umwamba wa kutupiana masumbwi na Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi ya Kaoneka anayejiandaa na mpambano wake na Said Mbelwa utakaofanyika November 10 jumapili hii katika ukumbi wa Paradise uliopo Pugu Kirumba Dar es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments :

Post a Comment