Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, November 16, 2013

KIKUNDI CHA CEPA CHATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA WA KITUO CHA MSIMBAZI



Wanachama wa kikundi cha  kuondoa umasikini cha Ukonga ' CEPA' wakiwa wamebeba vyakula walivyopeleka katika kituo cha watoto yatima cha Msimbazi mwishoni mwa wiki iliyopita kikindi hicho kilitoa vyakula mbalimbali vikiwemo unga,mchele,sukari, mafuta maharage na baadhi ya vitu mbalimbali
Mwenyekiti wa kikundi cha wanachama cha kuondoa umasikini Ukonga 'CEPA' ,Ipyana Kibona kushoto na Katibu mkuu wa kikundi hicho, James Musokwa wakisukuma bembea walipo tembelea watoto yatima wanaolelewa katika kituo cha Msimbazi Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyopita na kutoa vyakula mbalimbali kwa ajili ya watoto hawo yatima
Mwenyekiti wa kikundi cha wanachama cha kuondoa umasikini Ukonga 'CEPA' ,Ipyana Kibona kushoto na Katibu mkuu wa kikundi hicho, James Musokwa wakisukuma bembea walipo tembelea watoto yatima wanaolelewa katika kituo cha Msimbazi Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyopita na kutoa vyakula mbalimbali kwa ajili ya watoto hawo yatima
Wanachama wa kikundi cha  kuondoa umasikini cha Ukonga ' CEPA' wakisukuma bembea watoto yatima wa kituo cha msimbazi walipotembelea na kutoa msaada wa vyakula mbalimbali kwa ajili ya watoto hawo yatima
Mwenyekiti wa kikundi cha wanachama cha kuondoa umasikini Ukonga 'CEPA' ,Ipyana Kibona akimkabidhi mtoto yatima anaelelewa katika kituo cha msimbazi,Baraka Mabibo msaana huo walioutoa na kupokelewa kwa niaba ya watoto wenzie

No comments :

Post a Comment