Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, November 12, 2013

NDEGE 3 WAIBUKA NA SINGO MPYA




KUNDI jipya la muziki la Ndege 3, linaloundwa na wasanii watatu nyota wa muziki wa dansi nchini, limeibuka na kibao kingine kipya.

Wasanii wanaounda kundi hilo ni Khadija Mnoga (Kimobitel), Pauline Zongo na Joan Matovolwa.

Taarifa iliyotumwa na Khadija kwa blogu ya Liwazozito wiki hii, imeutaja wimbo huo kuwa ni Misukosuko.

Ndege 3wamerekodi wimbo huo kwa kushirikiana na repa machachari nchini, Grayson Semsekwa wa bendi ya Twanga Pepeta.

Khadija alisema tayari wamesharekodi audio ya wimbo huo na kuzisambaza kwenye vituo mbalimbali vya redio nchini.

Amesema kwa sasa wanajiandaa kurekodi video ya wimbo huo kabla ya kuisambaza kwenye vituo vya televisheni nchini.

No comments :

Post a Comment