Meneja wa NMB Kanda ya Kusini, Lilian Mwinula akimkabidhi Daktari Mfawidhi wa hospitali ya Ligula-Mtwara, Mohamed Ahmed Gwao sehemu ya msaada wa vyandarua uliotolewa na benki ya NMB kwa hospitali za mkoa wa Mtwara vyenye thamani ya shilingi milioni 10/-. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni matroni wa hospitali ya Ligula, Theofrida Manoti, Mganga Mkuu wa Wilaya, Joseph Mwiru na Meneja wa tawi la NMB Mtwara, Richard lema.
KAMISHNA BADRU KUPUNGUZA MIGOGORO KATI YA WANYAMAPORI NA BINADAMU NGORONGORO
-
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro.
Baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 na kupatikana kwa
madiwani wapya ndani kwa kata zilizopo ndani ya Hifa...
21 hours ago

No comments :
Post a Comment