Meneja wa NMB Kanda ya Kusini, Lilian Mwinula akimkabidhi Daktari Mfawidhi wa hospitali ya Ligula-Mtwara, Mohamed Ahmed Gwao sehemu ya msaada wa vyandarua uliotolewa na benki ya NMB kwa hospitali za mkoa wa Mtwara vyenye thamani ya shilingi milioni 10/-. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni matroni wa hospitali ya Ligula, Theofrida Manoti, Mganga Mkuu wa Wilaya, Joseph Mwiru na Meneja wa tawi la NMB Mtwara, Richard lema.
INEC KUSHIRIKIANA KWA KARIBU NA VYOMBO VYA HABARI KATIKA UCHAGUZI MKUU 2025
-
Mkurugenzi waUchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani
Kailima akizungumza katika Mkutano wa Tume, Wahariri na Waandishi wa
Habari, ...
14 hours ago
No comments :
Post a Comment