Meneja wa NMB Kanda ya Kusini, Lilian Mwinula akimkabidhi Daktari Mfawidhi wa hospitali ya Ligula-Mtwara, Mohamed Ahmed Gwao sehemu ya msaada wa vyandarua uliotolewa na benki ya NMB kwa hospitali za mkoa wa Mtwara vyenye thamani ya shilingi milioni 10/-. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni matroni wa hospitali ya Ligula, Theofrida Manoti, Mganga Mkuu wa Wilaya, Joseph Mwiru na Meneja wa tawi la NMB Mtwara, Richard lema.
MTANZANIA AULA M4FOFA
-
Mtanzania ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Bodi ya Shirika la The Movement for
the Federation of East Africa (M4FOEA)
Shirika hili ni Muunganiko wa nchinan...
2 hours ago

No comments :
Post a Comment