Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00
TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania
Sunday, November 10, 2013
ZAIDI YA WAWEKEZAJI 65 KUTOKA UBELIGIJI WAWASILI NCHINI TANZANIA KUANGALIA FURSA ZA UWEKEZAJI
Balozi
wa Tanzania nchini Ubelgiji Dr. Diodorus Kamala akiwakaribisha miongoni
mwa wawekezaji 25 kutoka taasisi ya Flanders Investiment & Trade ya
nchini Ubeligiji waliowasili leo mchana kwa ndege ya shirika la ndege
la Kenya Airways kwa ajili ya kuja kuangalia fursa za uwekezaji nchini
Tanzania wawekezaji hao wamekuja nchini kwa juhudi kubwa za balozi Dr.
Diodorus Kamala anazofanya nchini humo kama mwakilishi rasmi wa nchi ya
Tanzania Balozi
wa Tanzania nchini Ubelgiji Dr. Diodorus Kamala akiongozana na kiongozi
wa wawekezaji hao Bw. Malin kushoto ni Bw Hassan mmoja wa waratibu wa
ujio wa wawekezaji hao.Balozi
wa Tanzania nchini Ubelgiji Dr. Diodorus Kamala akiwaongoza wekezaji
hao ambao watakuwa na mkutano wawekezaji wa hapa nchini pia.Wawekezaji hao wakisubiri usafiri tayari kwa kuelekea kwenye hoteli ya Serena Dar es salaam jijini Dar es salaam.
Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Dr. Diodorus Kamala akifafanua jambo kwa wawekezaji haoBalozi
wa Tanzania nchini Ubelgiji Dr. Diodorus Kamala akihojiwa na waandishi
wa habari kutoka kituo cha ITV ambao walifika katika mapokezi hayo.PICHA NA KIKOSI KAZI CHA FULLSHANGWE- JKN AIRPORT
Kocha Kondo nassoro akimwelekeza bondia chipukizi Zainabu Mhamila (Ikota) huku nyuma akielekezwa jinsi ya kutembea na kocha Habibu Kinyogoli wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Ilala Dar es Salaam
DVD MPYA YA MASUMBWI YA BONDIA SAID MBWELWA
DVD MPYA YA BONDIA MTANZANIA SAID MBELWA AKICHEZA MAPAMBANO YAKE NJE YA NCHI KWA MAHITAJI FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI AU PIGA SIMU 0713406938
KAVA YA VIDEO YA SUPER D BOXING COACH
SUPER D BOXING COACH DVD MPYA
DVD MPYA ZA SUPER D BOXING COACH SASA ZIPO SOKONI
DVD MPYA ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MAITAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU
0787 0774 0754 4O6938 0713 0733 AU FIKA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI KARIAKOO DAR ES SALAAM AU FIKA JENGO LA AZAM MSIMBAZI KARIBU NA POLISI POST GEREZANI p.o.box 15493 DAR Email.superdboxingcoach@gmail.com http://www.facebook.com/groups
DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MATAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU 0787/0774/0715/0754/0733/0713-406938 AU FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI 0652755838
SPORTSVIEWS
Visitors
Viwanjani time
DAWA YA NGUVU
TANGAZO
DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA MSISIMKO KWA WANAWAKE WASIO NA HAMU YA TENDO LA NDOA AMBAYO HULETA MSISIMKO KWA WANAUME NA WAKE WAKUTANAPO.KWA SASA INAPATIKANA KWA BEI NAFUU HAPA JIJINI DAR ES SALAAM MAKUTANO YA MTAA WA KIPATA NA BARABARA YA MSIMBAZI
No comments :
Post a Comment