Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, February 16, 2014

KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM DODOMA, BERNARD MEMBE AHOJIWA




 Mwenyekiti wa CCM Taifa, Jakaya Kikwete, akiongoza Kikao cha kamati Kuu mjini Dodoma leo mchana.
 Baadhi ya wjumbe wa NEC, wakiwa ndani ya ukumbi wa CCM katika Kikao cha Kamati kuu.
 Baadhi ya wjumbe wa NEC, wakiwa ndani ya ukumbi wa CCM katika Kikao cha Kamati kuu.
 Baadhi ya wjumbe wa NEC, wakiwa ndani ya ukumbi wa CCM katika Kikao cha Kamati kuu.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM (NEC) Bernard Membe akizungumza na waandishi wa habari nje ya Ukumbi CCM Makao Makuu Dodoma baada ya kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili ambapo alisema Kamati ya Maadili imeuliza masuala mazito na magumu yanayohusiana na uvunjaji wa maadili ya uongozi wa chama na kuongeza kuwa na bado wapo wengi watakao hojiwa.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM (NEC) Bernard Membe akizungumza na waandishi wa habari nje ya Ukumbi CCM Makao Makuu Dodoma.

 Kikundi cha uhamasishaji cha vijana wa CCM, kikitoa burudani kwa nyimbo zake za kwaya na kuwapagawisha baadhi ya Wabunge.
 Mbunge, faida, akiserebuka na miondoko ya kwaya.....
 Baadhi ya waandishi wa habari wakiwajibika kuandika stori baada ya kuzungumza na Bernard Membe...nje ya Ukumbi wa CCM.
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwajibika kuandika stori baada ya kuzungumza na Bernard Membe...nje ya Ukumbi wa CCM.

No comments :

Post a Comment