Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, February 28, 2014

MASHINDANO YA SAFARI LAGER NYAMA CHOMA ILALA WAPATA MAFUNZO



Jaji mkuu wa shindano la Safari lager nyama choma Lawrence Salvi kushoto akifafanua jambo wakati wa mafundisho ya uchomaji nyama bora kwa wachoma nyuma wa bar mbalimbali za Ilala

Jaji mkuu wa shindano la Safari lager nyama choma Lawrence Salvi kushotoakijibu maswali mbalimbali ya kuhusu uchomaji wa nyama kwa njia ya kitabu alichonacho kwa ajili ya uchomaji nyama bora

Jaji mkuu wa shindano la Safari lager nyama choma Lawrence Salvi kulia akimkabidhi cheti Richard Mushi kwa ajili ya kushiliki semina ya uchomaji mzuri wa nyama

Jaji mkuu wa shindano la Safari lager nyama choma Lawrence Salvi kulia akimkabidhi cheti Mary Komba kwa ajili ya kushiliki semina ya uchomaji mzuri wa nyama

Baadhi ya washiliki walioshiliki katika semina ya uchomaji nyama wakiwa katika picha ya panmoja

No comments :

Post a Comment