Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, February 10, 2014

MASHINDANO YA NGUMI KATIKA GYM YA NDAME



Bondia Kassimu Gamboo kushoto akimtupia makonde bondia Omari Tambwe wakati wa mpambano wao uliofanyika katika GYM ya Ndame Manzese midizini Kilimahewa Dar es salaam Gamboo alishinda kwa K,O ya raundi ya kwanza katika mchezo huo Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Faraji Sayuni kushoto akipambana na Fredy Sayuni wakati wa mpambano wao uliofanyika katika GYM ya Ndame Manzese Midizini  Kilimahewa Dar es salaam Fredy alisjhishinda katika raundi ya pili picha na Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Haji Gamba kushoto akipambana na Julius Kisarawe wakati wa mpambano wao uliofanyika katika GYM ya Ndame Manzese Midizini  Kilimahewa Dar es salaam Kisarawe alisjhishinda katika raundi ya pili picha na Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Ibrahimu Tamba kushoto akipambana na Baraka Ali wakati wa mpambano wao uliofanyika katika GYM ya Ndame Manzese Midizini  Kilimahewa Dar es salaam Tamba alishishinda katika raundi ya pili picha na Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments :

Post a Comment