Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, February 23, 2014

WAZIRI DR MAHEGE KUKATA MZIZI WA FITANA IRINGA JUU YA UJENZI WA STENDI YA KISASA



Waziri  wa nchi  ofisi ya  makamu  wa  Rais mazingira  Dr Binilith Mahenge akizungumza na  viongozi wa  mkoa wa Iringa leo kabla ya  kutembelea eneo la ujenzi wa stendi ya  kisasa Igumbilo
Mhandisi wa manispaa ya  Iringa Mashaka Luhamba kulia akitoa maelekezo kwa waziri Dr Mahenge wa tatu kushoto leo
waziri Dr Mahenge  akiwa na mkuu wa mkoa wa Iringa Dr Christine Ishengoma  kushoto na mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya  Iringa  Bi Terresia Mahongo  kulia

No comments :

Post a Comment