Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, February 5, 2014

SIMBA YASHIKA NAFASI YA TATU BAADA YA KUTOKA SARE NA MTIBWA




Simba leo imetoka sare na Mtibwa ya kufungana bao 1-1 kwenye mchezo uliochezwa uwanja wa Jamhuri Morogoro.
Mtibwa ndio walianza kuliona lango la Simba kupitia kwa Musa Mgosi na Simba kuzawazisha kupitia kwa Amis Tambwe.
Kwa matokeo hayo Azam wanaendelea kuongoza ligi huku Yanga wakiwa nafasi ya pili na Simba nafasi ya tatu wakiwa na pointi 31 sawa na Mbeya City ila simba inaizidi kwa mabao ya kufungwa na kufunga
Kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya Tanzania Prisons na Coastal Union hazikufungana 0-0

Kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga Mgambo Shooting vs Ruvu Shooting nao wamelala 0-0
Chamazi, Dar es Salaam JKT Ruvu imefungwa na Ashanti United bao 1-0 na Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Rhino Rangers vs Oljoro JKT zimetoka sare 2-2

No comments :

Post a Comment