Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, February 2, 2014

Ziara ya Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima Kanda ya Ziwa.





 Naibu wa Waziri wa Fedha Adam Malima alipokuwa akizungumza na wananchi wa Sirari wa wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua vituo vya forodha na kungea na watumishi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) katika mikoa ya kanda ya Ziwa.
 Naibu wa Waziri wa Fedha Adam Malima alipokuwa akizungumza na wananchi wa Sirari wa wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua vituo vya forodha na kungea na watumishi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) katika mikoa ya kanda ya Ziwa.
 Naibu wa Waziri wa Fedha Adam Malima alipokuwa akizungumza na wananchi wa Sirari wa wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua vituo vya forodha na kungea na watumishi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) katika mikoa ya kanda ya Ziwa.
 Mkuu wa wilaya ya Tarime Luteni Kanali John Henjewele akimwonesha Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima (aliyevaa barghashia) na msafara wake maeneo ya mpaka wa Tanzania na Kenya katika mpaka wa Sirari. 
 Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima akikagua jengo la kituo cha pamoja cha huduma za forodha cha Sirari (OSBP) ambapo amemwagiza mkuu wa wilaya ya Tarime Luteni Kanali John Henjewele na timu yake wafanyiwe tathmini ya haraka na ya kina ndani ya wiki moja kwani jingo hilo limejengwa chini ya kiwango na linanyufa nyingi hata kabla halijaanza kutumika kitu ambacho Serikali imekataa kulipokea hadi tathmini ifanyike na kupewa ushauri kulipokea au kutolipokea.
 Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima akikagua jengo la kituo cha pamoja cha huduma za forodha cha Sirari (OSBP) ambapo amemwagiza mkuu wa wilaya ya Tarime Luteni Kanali John Henjewele na timu yake wafanyiwe tathmini ya haraka na ya kina ndani ya wiki moja kwani jingo hilo limejengwa chini ya kiwango na linanyufa nyingi hata kabla halijaanza kutumika kitu ambacho Serikali imekataa kulipokea hadi tathmini ifanyike na kupewa ushauri kulipokea au kutolipokea.
Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima akikagua jengo la kituo cha pamoja cha huduma za forodha cha Sirari (OSBP) na kujionea ufa mojawapo ndani ya jingo la kituo hicho.(Picha zote na Eleuteri Mangi- MAELEZO, Mara).

No comments :

Post a Comment