Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, February 7, 2014

RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AZUNGUMZIA MAFANIKIO YA UONGOZI WAKE NDANI YA SIKU 100


Rais wa shirikisho la Mpira wa miguu nchini TFF, Jamal Malinzi (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam leo kuhusu mafanikio ya uongozi wake ndani ya siku 100 tangu alipoingia madarakani. Kulia ni Afisa habari wa TFF Boniface Wambura (kushoto) ni Mshauri wa ufundi, Rutayunga Peregenus.
 Baadhi ya Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakifuatilia mkutano huo uliofanyika leo  katika ukumbi wa hotel ya Kempisk Hyatt Regence, jijini Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment