Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, September 8, 2014

Huyu ndiye Afisa Habari Mpya wa Yanga



https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjc8uEbcWwtVxvbMetnOCfv5T8t1T235JF1rbCtCHF-aTVzgbGZGJ7eBwGdRMCLbmloq3KCT0xu-SdZ2L_KDQxOthy_2JrWEEF0CCsH7r78BtvVMwtP7ITWVt6-m7c8Z3v05RAKqtoh-6gt/s1600/jerry-muro.jpg
Jerry Muro ndiye Msemaji Mkuu wa Yanga
 MTANGAZAJI mahiri nchini aliyewahi kufanya kazi na vituo vya ITV na TBC1, Jerry Muro amekula shavu baada ya kuteuliwa kuwa Msemaji wa Yanga.
Muro anatarajia kuanza kazi ndani ya siku chache zijazo kuchukua nafasi ya aliyekuwa msemaji wa klabu hiyo, Baraka Kizuguto ambaye sasa atakuwa akifanya kazi nyingine za klabu hiyo.
Muro alijipatia umaarufu mkubwa katika kuendesha vipindi vya uchunguzi akiwa ITV kabla ya kuja kuangushiwa jumba kwa kufunguliwa kesi ya Rushwa ambayo hata hivyo aliibuka kidedea dhidi ya waliomfungilia kesi hiyo.

No comments :

Post a Comment