Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, September 15, 2014

YANGA KUANZA KUJINOA KESHO TAYARI KWA KUIVAA MTIBWA SUGER



Na Father Kidevu Blog
KIKOSI cha Yanga kesho kinatarajia kuendelea na maandalizi ya Ligi Kuu kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola, na Alhamisi itasafiri kuelekea Morogoro kwa ajili ya mchezo wake wa kwanza wa ligi dhidi ya Mtibwa Sugar utakaochezwa kwenye uwanja wa Jamuhuri Jumamosi.

Washindi hao wa mchezo wa Ngao ya Jamii leo wamepumzika baada ya jana kutoa kipigo cha mabao 3-0 dhidi ya bingwa wa msimu uliopita Azam kwenye mchezo uliofanyika kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam mabao yaliofungwa na Geilson Santos ‘Jaja’ na Simon Msuva.

Meneja wa Yanga Hafidh Salehe,amesema katika kikosi kitakacho elekea Morogoro Alhamisi atakuwemo kiungo Mbrazili aliyekosa mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Azam Andrey Coutinho,baada ya kupona maumivu hayo.

No comments :

Post a Comment