Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's
Miss Tanzania 2014 leo wameingia siku ya pili ya kambi yao jijini Dar es
Salaam na baada ya semina asubuhi na mapumziko ya mchana jioni hii
wamefanya mazoezi katika chumba maalum cha mazoezi 'Gym', ungana na
mpigapicha wa Father Kidevu Blog katika picha mbalimbali za warembo hao
katika kambi yao.
WANAFUNZI WA MADRASA ,WAALIMU KUTOKA KONDOA WATHIBITISHA KWA MUNGU HAKUNA
KUBWA NGORONGORO
-
Mwenyezi Mungu akitaka jambo litokee hutokea ndivyo ilivyotokea, uumbwaji
wa Kasoko ya Ngorongoro zaidi ya miaka milioni 2.5 iliyopita ambapo mlima
mre...
5 days ago










No comments :
Post a Comment