Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's
Miss Tanzania 2014 leo wameingia siku ya pili ya kambi yao jijini Dar es
Salaam na baada ya semina asubuhi na mapumziko ya mchana jioni hii
wamefanya mazoezi katika chumba maalum cha mazoezi 'Gym', ungana na
mpigapicha wa Father Kidevu Blog katika picha mbalimbali za warembo hao
katika kambi yao.
MAKALLA,LAIZER WAZINADI FURSA ZA UTALII NA UWEKEZAJI NGORONGORO
-
Naibu Kamishna wa Uhifadhi, Huduma za Shirika Ngorongoro Bw. Aidan Makalla
(kulia) akiwa ameambatana na Abdiel Laizer Afisa Utalii Mkuu Msaidizi
amekutan...
10 hours ago
No comments :
Post a Comment