Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's
Miss Tanzania 2014 leo wameingia siku ya pili ya kambi yao jijini Dar es
Salaam na baada ya semina asubuhi na mapumziko ya mchana jioni hii
wamefanya mazoezi katika chumba maalum cha mazoezi 'Gym', ungana na
mpigapicha wa Father Kidevu Blog katika picha mbalimbali za warembo hao
katika kambi yao.
KAMISHNA BADRU AENDELEA KUIMARISHA UHUSIANO NA JAMII INAYOISHI NDANI YA
HIFADHI YA NGORONGORO
-
Mwandishi wetu Endulen Ngorongoro.
Tarehe 20 Desemba, 2025
Uhusiano kati ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) na jamii inayoishi
ndani ya eneo la h...
17 hours ago










No comments :
Post a Comment