Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, September 30, 2014

SMILEON KUWEZESHA WATEJA WAKE KUWA HEWANI MTANDAONI PALE KIFURUSHI CHA INTANET KINAPOKWISHA


Baadhi ya mahofisa wa Smile wakiwa na furaha uku wameshikili vipeperushi vinavyo onesha kuwezesha wateja kuendelea kuwa hewani mtandaoni pale kifurushi cha intanet kinapoisha
Mkuu wa Masoko wa Kampuni Smile Bi, Linda Chiza kulia akizungumza na waandishi wa habari juu ya SimelON kuwezesha wateja kuendelea kuwa hewani mtandaoni pale kifurushi cha intaneti kinapokwisha kushoto ni Head of Operational Efficiency and Compliance Bw. Athumani Nzowa
Mkuu wa Masoko wa Kampuni Smile Bi, Linda Chiza kulia akizungumza na waandishi wa habari juu ya SimelON kuwezesha wateja kuendelea kuwa hewani mtandaoni pale kifurushi cha intaneti kinapokwisha kushoto ni Head of Operational Efficiency and Compliance Bw. Athumani Nzowa na kulia ni Mkurugenzi wa Mauzo wa Smile Edgar Mapunde



Baadhi ya waandishi wa habari wakisikiliza kwa makini  maofisa wa Smile

No comments :

Post a Comment