Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, September 4, 2014

MCHEMBA ATEMBELEA WANANCHI WAKE JIMBONI KUSIKILIZA KERO NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO



 
Licha ya majukumu mbalimbali yanayowakabili viongozi wetu wakuu wa nchi lakini kuwatembelea wapiga kura wao na kujua yanayowakabili ni jambo muhimu sana ambalo mbali na kuwapa faraja wananchi hao wa eneo husika lakini inaleta matumiani kuwa kiongozi wao yupo na anawajibika.
Mara kwa mara baadhi ya wabunge hudhani kuwa bila ya kuwa na kitu huwezi enda Jimboni labda hadi uwe na mifuko ya saruji, bati au jezi na mipira ya kuwagawia wapiga kura wake.
Jana  Naibu Waziri wa Fedha, na Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Mchemba alitembelea Jimboni kwake ili kufuatilia Utekelezaji wa miradi ya Maendeleo na Kusikiliza Maoni,Matatizo na Maombi ya Wananchi.
kundi la burudani likitumbuiza.
Mbunge akipokea zawadi mbalimbali na kuzipa baraka.
Michango ya kijamii ilifanyika kwaajili ya maendeleo.
Mwigulu akiwaaga wapiga kura wake.

No comments :

Post a Comment