Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, September 8, 2014

Stars bado nyanya kwa Burundi yapigwa 2-0



http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/09/stars-1.jpgTIMU ya soka ya taifa, Taifa Stars bado haijapata dawa ya kufuta uteja kwa Burundi baada ya kukandikwa mabao 2-0 katika mechi ya marudiano ya kirafiki ya kimataifa iliyochezwa jijini Bujumbura Burundi.
Stars iliyoenda Burundi ikitamba kwenda kulipa kisasi cha mabao 3-0 ilichopewa na wenyeji wao kwenye mechi ya kirafiki ya kuadhimisha Siku ya Uhuru, ilishindwa kutimiza tambo hizo kwa kukandikwa na wenyeo wao kwenye mechi hiyo ya ugenini.
Mabao yaliyoizamisha Stars yalifungwa katika dakika ya kwanza tu ya mchezo na Saido Ntibazonkiza kabla ya Yusuf Ndikumana kuongeza la pili kwenye dakika ya 29 na kuifanya Stars ipigane kusaka angalau bao la kufutia machozi bila mafanikio yoyote.

No comments :

Post a Comment