Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00
TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania
Friday, September 5, 2014
MKUU WA WILAYA YA TEMEKE AKABIDHI MASHINE ZA KUFYATULIA MATOFALI ZILIZOTOLEWA NA (NHC)KWA VIKUNDI VYA VIJANA
Mkuu wa wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema
akikabidhi mashine ya kufyatulia matofali mwenyekiti wa kikundi cha
Mbagala Youth Group Said Mponda baada ya kuzipokea kutoka kwa Shirika
la Nyumba la Taifa NHC ambalo limetoa mashine kwa vikundi hivyo ili
kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana
mashine hizo zilikabidhiwa kwa mkuu wa wilaya na Meneja wa Shirika la
Nyumba la Taifa NHC tawi la Temeke Bw. Wencenslaus Tillya. (PICHA NA
KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)
Mkuu
wa Wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akipokea mashine za kufyatulia
matofali kutoka kwa Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC Wilaya ya
Temeke Bw. Wencenslaus Tillya ambazo zilikabidhiwa kwa vikundi vya
vijana wilayani humo.
Mkuu
wa Wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akikabidhi mashine kwa mwenyekiti
wa kikundi cha Sokoine Youth Development William Gabriel.
Mkuu wa wilaya ya Temeke Bi. Sophia
Mjema akikabidhi mashine ya kufyatulia matofali mwenyekiti wa kikundi
cha Chang'ombe Youth Development Eunice Mlwale baada ya kuzipokea kutoka
kwa Shirika la Nyumba la Taifa NHCMkuu wa wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema
akikabidhi mashine ya kufyatulia matofali mwenyekiti wa kikundi cha
Chapakazi Youth Youth Nathanaeli Daniel Kidaila baada ya kuzipokea
kutoka kwa Shirika la Nyumba la Taifa NHCMkuu wa wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema
akiwa katika picha ya pamoja na vikundi hivyo mara baada ya kukabidhi
mashine za kufyatulia matofali kwa vikundi vya vijana vya Temeke ambazo
zimetolewa na Shirika la Nyumba la Taifa NHC Kulia kwa Mkuu wa Wilaya
ni Wencenslaus Tillya Meneja wa NHC Temeke na kulia kwake ni Kaimu
Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke Bw. John Bwana.Mkuu wa wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akipiga picha ya pamoja na wafanyakazi wa Shirika la Nyumba NHC na baadhi ya maofisa wa Manispaa ya Temeke.Baadhi ya waandishi wa habari na vijana waliojitokeza katika makabidhiano hayo wakiwa katika hafla hiyoBaadhi ya mashine za kufyatulia matofali zilizokabidhiwa kwa vikundi hivyo.Mkuu wa wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema
akimzikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke Bw. John Bwana
wakati alipokuwa akitoa shukurani zake kwa shirika la Nyumba NHC kwa
kutoa mashine hizo, wa pili kutoka kulia ni Wencenslaus Tillya Meneja wa
NHC wilaya ya Temeke.
Kocha Kondo nassoro akimwelekeza bondia chipukizi Zainabu Mhamila (Ikota) huku nyuma akielekezwa jinsi ya kutembea na kocha Habibu Kinyogoli wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Ilala Dar es Salaam
DVD MPYA YA MASUMBWI YA BONDIA SAID MBWELWA
DVD MPYA YA BONDIA MTANZANIA SAID MBELWA AKICHEZA MAPAMBANO YAKE NJE YA NCHI KWA MAHITAJI FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI AU PIGA SIMU 0713406938
KAVA YA VIDEO YA SUPER D BOXING COACH
SUPER D BOXING COACH DVD MPYA
DVD MPYA ZA SUPER D BOXING COACH SASA ZIPO SOKONI
DVD MPYA ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MAITAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU
0787 0774 0754 4O6938 0713 0733 AU FIKA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI KARIAKOO DAR ES SALAAM AU FIKA JENGO LA AZAM MSIMBAZI KARIBU NA POLISI POST GEREZANI p.o.box 15493 DAR Email.superdboxingcoach@gmail.com http://www.facebook.com/groups
DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MATAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU 0787/0774/0715/0754/0733/0713-406938 AU FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI 0652755838
SPORTSVIEWS
Visitors
Viwanjani time
DAWA YA NGUVU
TANGAZO
DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA MSISIMKO KWA WANAWAKE WASIO NA HAMU YA TENDO LA NDOA AMBAYO HULETA MSISIMKO KWA WANAUME NA WAKE WAKUTANAPO.KWA SASA INAPATIKANA KWA BEI NAFUU HAPA JIJINI DAR ES SALAAM MAKUTANO YA MTAA WA KIPATA NA BARABARA YA MSIMBAZI
No comments :
Post a Comment