Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, September 3, 2014

MASHINDANO YA NGUMI 10 MKOA WA DAR ES SALAAM KUENDEREA JUMAMOSI HII



MASHINDANO ya ngumi za ridhaa ya kumi bora inayoshirikisha vilabu mbalimbali nchini itaenderea tena jumamosi hii katika ukumbi wa Manyara park ccm tandale baada ya kuzinduliwa rasmi wiki iliyopita

mashindano haya kwa ajili ya kupa
nga viwango vya mabondia kumi bora katika kila uzito yamekuwa chachu kwa vijana wengi kujitokeza na kutaka nafasi ya kuonesha uwezo katika mashindano hayo ili mladi na yeyey ajue yupo katika nafasi gani katika kumi bora ya mkoa wa Dar es salaam

mashindano hayo  yanayosimamiwa na chama cha ngumi za ridhaa mkoa wa Dar es salaam yamekuwa yakiendelea kusuasua kila siku kutokana na maandalizi duni hivyo kuomba makampuni pamoja na taasisi binafsi kusaidia uongozi wa mkoa wa Dar es salaam kuendesha mashindano mbalimbali yanayoenderea

No comments :

Post a Comment