Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, May 10, 2014

NASSIBU RAMADHANI,SAID MUHIDIN,JUMA FUNDI, BAINA MAZOLA WAPIMA UZITO KUZIDUNDA KESHO MABIBO MWISHO



Bondia Nassibu Ramadhani kushoto akitunishiana misuli na Said Muhidini baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika jumapili ya may 11 katika ukumbi wa D.I.I Hall mabibo mwisho katikati ni mratibu wa mpambano huo Bahiyo Mkumbi picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Juma Fundi kushoto akitunishiana misuli na Baina Mazola baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika jumapili ya may 11 katika ukumbi wa D.I.I Hall mabibo mwisho katikati ni mratibu wa mpambano huo Bahiyo Mkumbi picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Said Muhidini akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Nassibu Ramadhani kushoto
Bondia Baina Mazola akipima Uzito

No comments :

Post a Comment