Mkurugenzi wa Sahel Traing Co.Ltd, Ally hazam kushoto
akimkabidhi mzani wa kupimia uzito mabondia kwa Yassin Abdalla 'Ostadhi'
mzani huo wenye thamani ya shilingi milioni moja na laki nane umetolewa
na kampuni hiyo kutekeleza ahadi yao ya kusaidia mchezo wa masumbwi
nchini picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment