Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, May 12, 2014

NGUMI ZILIVYOPIGWA MABIBO MWISHO



Bondia Fabian Lymo kushoto akipambana na Bakari Dunda wakati wa mpambano wao uliofanyika Mabibo Dar es salaam jana Lymo alishinda kwa point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Fabian Lymo kushoto akipambana na Bakari Dunda wakati wa mpambano wao uliofanyika Mabibo Dar es salaam jana Lymo alishinda kwa point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
mabondia baada ya kumaliza mpambano wao
Bondia Fabian Lymo kushoto akinyoshwa mkono juu baada ya kumshinda  Bakari Dunda wakati wa mpambano wao uliofanyika Mabibo Dar es salaam jana Lymo alishinda kwa point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Said Muhidiniakiwa chini baada ya kupokea kipigo kutoka kwa Nassibu Ramadhani
Bondia Nassibu Ramadhani akipambana na Bondia Said Muhidini Ramadhani alishinda kwa T,K,O ya raundi ya kwanza
Kocha wa mchezo wa ngumi Ramadhani Uhadi akimwelekeza jinsi ku kutupa makonde bondia Fabian Lymo
Fabian Lymo


Msanii wa muziki wa hipop Karama Masoud 'Kala Pina'  akitumbuiza katika onesho lake lililofanyika mwishondi wa weiki iliyopita katika ukumbi wa D.I.D hall uliopo Mabibo mwisho Dar es salaam

Bondia Nassibu Ramadhani wa pili kulia akiwa na mashabiki wake uku wakiangalia ngumi katika ukumbi wa DID Mabibo mwisho jana
Bondia Juma Fundi kushoto akipambana na Baina Mazola wakati wa mpambano wao uliofanyika mabibo mwisho Dar es salaam jana Fundi alishinda kwa point mchezo huo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments :

Post a Comment