Askari Polisi akiwatuliza wanakijiji wa kijiji cha Masanganya Wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani, jana baada ya hatua walizozichukua za Kumfukuza Mwenyekiti wa Kijiji
hicho, Rajabu Iddi juzi kutokana na
ubadhilifu wa matumizi mabaya na kutumia vibaya madaraka yake wakati wa Mkutano na Viongozi wa
Wilaya ya Kisarawe. Picha na Jumanne Juma.
DKT. MPANGO AKUTANA NA RAIS WA BENKI YA AFREXIM
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango
amekutana na kufanya mazungumzo na Rais na Mwenyekiti wa Bodi ya
Wakurugenzi wa...
19 minutes ago
No comments :
Post a Comment