Gazeti huru la kila siku gazeti la Majira leo limeadhimisha miaka 16 tangu kuzaliwa kwa gazeti hilo.
Gazeti la Majira lilitoka kwa mara ya kwanza mtaani siku ya Jumatatu tarehe 27 mwaka 1993, kama linavyoonekana hapo juu pichani.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment