Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, December 31, 2009

MAMA YAKE AMANI MISANA NA DJ JUICE AZIKWA LEO

Amani Misana mwenye tisheti nyekundu Mtangazaji wa Radio Times akitoka katika kaburi baada ya kumlaza mama yake katika mwandani wa mapumziko ya milele katika makaburi ya Magomeni Jijini Dar es Salaam, Bi Asia ambaye nini Mama wa Amani Misana na Hussein Juma (DJ JUICE) ambao ni wafanya wa Radio TIMES FM, Alifariki jana mkoani TangaNdugu, Jamaa, Marafiki na Wafanyakazi wa Radio Times FM wakisaidia shughuli ya mazishi ya Mama yake Amani Misana mtangazaji wa Radio wa Times FM pamoja na DJ Juice.Amani Misana Mwenye tisheti nyekundu akishudia ndugu jamaa marafiki na watangazaji wa Radio Times Fm wakilihifadhi vema kaburi la mama yake, Bi Asia.Shekhe Akisoma Talakini mara baada ya mazishiEEEH MWENYEZI MUNGU ILAZE ROHO YA MAMA YETU ASIA MAHALA PEMA PEPONI AMINA!!!

No comments :

Post a Comment