Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, December 22, 2009

SAFARI LAGER YAPATA WASHINDI WA MATREKTA

Mwandishi wa habari Bi.Salama Ahmad (kushoto) Msimamizi kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Bw.Mrisho Milao na meneja wa bia ya Safari Lager Bw. Fimbo Butallah wakichanganya bahasha zenye vizibo vya bia hiyo Dar es salaam, kwa ajili ya kumpata mshindi wa promosheni ya 'Chagua zawadi yako' iliyoandaliwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL). (Picha na Rajabu Mhamila)

Na Rajabu Mhamila
SAFARI LAGER WAPATA WASHINDI atimae ile droo ya 'Chagua Zawadi yako' iliyokuwa ikiendeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania kupitia bia yake ya Safari lager wamepata washindi katika kanda zilizokuwa zinashindania zawadi hizo
Aidha Kanda ya Dar es salaam mshindi ni Jonson Rugumani, ambaye alichagua zawadi ya Mtaji wa bar na kujishindia zawadi hiyo ilipochezeshwa Droo juzi kwa upande wa mbea alieshinda zawadi ni Elius Edward ambae alichagua zawadi ya tractor
Mwanza mshindi ni Lenard Paul aliechagua mtaji wa bar na kujishindia zawadi hiyo Arusha, Denis Mushi aliechagua Tractor aidha kwa upande wa Dar es salaam zoezi ilo lilikuwa linasimamiwa na Mkaguzi toka michezo ya kubahatisha Bw.Mrisho Milao pamoja na Meneja wa Bia ya Safari Lager Bw. Fimbo Butallah
Akizungumza na waandishi wa habari juzi Fimbo amesema zawadi zote kwa kila mshindi thamani yake ni shilingi milioni kumi kwa kila mshindi mbali na hivyo pia katika shindano ilo watu walikuwa nanajishindia bia za bule pesa tasilimu za shilingi 1000 au 5000 kadri utakavyo bahatika alisema fimbo.

No comments :

Post a Comment