
Bella ameibuka kinara kwa upande wa kata na kunyanyuka na medali ya dhahabu, ushindi mwingine umekwenda kwa Mohamed Utulivu medali ya fedha huku Swalehe Mwatika medali ya shaba .
Na kwa upande wa komite ushindi umeenda kwa Ayub Suleimani medali ya dhahabu, Eddy Kidevu medali ya fedha wakati Akida Salum akinyakuwa medali ya Shaba.
No comments :
Post a Comment