Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, December 22, 2009

MASHINDANO YA KARATE YA KUFUNGA MWAKA YA FANA DAR ES SALAAM

Mcheza karate Steven Bella ameibuka kinara wa mashindano ya mchezo huo yaliyofanyika katika uwanja wa ndani wa taifa jijini Dar es Salaam.
Bella ameibuka kinara kwa upande wa kata na kunyanyuka na medali ya dhahabu, ushindi mwingine umekwenda kwa Mohamed Utulivu medali ya fedha huku Swalehe Mwatika medali ya shaba .
Na kwa upande wa komite ushindi umeenda kwa Ayub Suleimani medali ya dhahabu, Eddy Kidevu medali ya fedha wakati Akida Salum akinyakuwa medali ya Shaba.

No comments :

Post a Comment