Mcheza karate Steven Bella ameibuka kinara wa mashindano ya mchezo huo yaliyofanyika katika uwanja wa ndani wa taifa jijini Dar es Salaam.
Bella ameibuka kinara kwa upande wa kata na kunyanyuka na medali ya dhahabu, ushindi mwingine umekwenda kwa Mohamed Utulivu medali ya fedha huku Swalehe Mwatika medali ya shaba .
Na kwa upande wa komite ushindi umeenda kwa Ayub Suleimani medali ya dhahabu, Eddy Kidevu medali ya fedha wakati Akida Salum akinyakuwa medali ya Shaba.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment