Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, December 22, 2009

TENIS VIJANA KUANZA KUCHUANA TAREHE 26 DESEMBA

Mashabiki wameobwa kujitokeza kwa wingi katika mashindano ya mchezo wa tenisi kwa watoto yanayotarajia kuanza Decemba 26 mwaka huu katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam.
Kocha wa mchezo huo Ismail Omary amesema kuwa maandalizi ya mashindano hayo na kinachosubiriwa ni kipute kianze.

No comments :

Post a Comment