Waziri wa habari Utamaduni na michezo George Huruma Mkuchika ameipongeza Kamati ya Olimpic kwa jitihada zake za kuhakisha Tanzania inashiriki katika michuano ya Jumuiya ya Madola Oktoba mwakani Mjini Delh nchini India.
Mkuchika ameyasema hayo wakati wa mapokezi ya kifimbo cha malkia wa Pili wa Uingereza.
Mkuchika amesema kutoakana na heshima kubwa iliyoipata Tanzania kwa kukimbiza kifimbo hicho kwa misimu minne mfululizo na hivyo ana iamani kwamba itakuwa changamoto kwa wanamichezo na kuhakikisha wanafanya vizuri katika michuano ijayo.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment