Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, December 30, 2009

HUU NI UUNGWANA?

Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakiwa wamejitokeza kwa uchache kusajili laini zao za simu Mitaa mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam, baada ya kuongezewa muda wa miezi sita, kabla ya hapo watu waliyokuwa wakijitokeza ni wengi na kusababisha foleni kubwa. Jamani wa Tanzania kweli huu ni uungwana? kwanini kila siku mpaka dakika za mwisho ndiyo tuanze kusukumana? kwanini tusubiri mpaka siku ya mwisho? hivi kweli zoezi lingesitishwa tarehe 31 Desemba 2009 si tungeilaumu tena Serikali!!!(Picha na Rajabu Mhamila

No comments :

Post a Comment