Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, December 9, 2009

VISIMA 70 KUCHIMBWA TANZANIA

Waziri wa Maji na Umwagiliaji wa Tanzania, Prof Mark Mwandosya (kushoto) akibadilishana hati za mkataba wa kuchimbiwa visima 70 na Waziri wa Maji wa Misri, Bw. Mohamed Allan wakati wa Mahadhimisho wa mkutano wa kumi wa Ushirikiano wa Nchi zinazozunguka Bonde la Mto Nile Dar es salaam.(Picha na Rajabu Mhamila)

No comments :

Post a Comment