Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, December 22, 2009

WACHEZAJI AFRICAN LYON KULA X-MASS NYUMBANI

Wachezaji wa African Lyon wakifanya mazoezi katika uwanja wa Uhuru.
Timu ya African Lyon inatarajia kuwapumzisha wachezejani wake kwa siku tatu kuanzia Decemba 23 hadi 26 kupisha Sikukuu ya X-MASS kabla ya kuendelea na kambi hiyo maeneo ya Bamba Beach Kigamboni.
Afisa Habari wa Timu hiyo Kambi Mbwana amesema dhumuni la kuwapa mapumziko wachezaji wao ni kuwapa fursa ya kukaa na familia zao kwa kipindi kifupi cha Sikukuu.

No comments :

Post a Comment