Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, George Mkuchika (kulia), akimkabidhi bendera ya taifa nahodha wa timu ya taifa ya netiboli (Taifa Queens), Jackline Sikozi, ambayo inatarajiwa kwenda kushiriki michuano ya kimataifa itakayozishirikisha nchi sita toka Desemba 6 hadi 12 mwaka huu huko Singapore.
MSUVA AUNGA MKONO MPANGO WA MAFUNZO WA JAB KUELEKEA AFCON 2027
-
Na Mwandishi Wetu
Mchezaji wa Kimataifa wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Simon
Msuva, amepongeza mpango wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa H...
15 hours ago
No comments :
Post a Comment