Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, George Mkuchika (kulia), akimkabidhi bendera ya taifa nahodha wa timu ya taifa ya netiboli (Taifa Queens), Jackline Sikozi, ambayo inatarajiwa kwenda kushiriki michuano ya kimataifa itakayozishirikisha nchi sita toka Desemba 6 hadi 12 mwaka huu huko Singapore.
WATUMISHI WAPYA WA OFISI YA MSAJILI WA HAZINA WAPIGWA MSASA
-
Na Mwandishi wa OMH
Kibaha, Pwani. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH), kwa kushirikiana na Chuo
cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), imeendesha mafunzo ya...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment