Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, December 5, 2009

MICHUANO YA CHALENJI YAPAMBA MOTO, KILI STARS WAICHAPA BURUNDI

Timu ya Taifa Kilimanjaro Stars leo imeifunga Burundi goli 1-0 kwenye uwanja wa Mumian nchini Kenya wakati timu hizo zilipokutana kwenye mashindano ya Kombe la Chalenji Afrika Mashariki na kati, mashindano ambayo mwaka huu yanayofanyika nchini Kenya.
Alikuwa ni mchezaji wa timu ya Taifa Mrisho Ngasa aliyeshindilia goli hilo pekee langoni mwa timu ya Burundi baada ya kupokea pasi nzuri iliyounganishwa na Mussa Hassan Mgosi baada ya kupokea mpira kutoka kwa mchezaji mwingine wa timu hiyo Juma Nyosso.
Mpaka kipindi cha kwanza kinamalizika timu hizo zilikuwa sare na kuenda mapumziko zikitoshana nguvu, baada ya mapumziko hayo Kilimanjaro Stars ilipata nguvu zaidi na kujiweka sawa kwa mchezo kitu ambacho kilizaa matunda kwa timu hiyo, Kilimanjaro Stars sasa imefikisha Pointi 4 baada ya kushinda michezo miwili na kufungwa mmoja ambapo ilifungwa na Uganda goli 2, ikaifungaza Zanzibar magoli 1 na leo ikiifunga Burundi goli 1Kalisa Mow wa Rwanda (kushoto) akiwania mpira na Isaias
> Andeberhian wa Eritrea katika mechi ya Kundi B ya kuwania
> Kombe la Chalenji iliyochezwa kwenye Uwanja a Nyayo jana.
> Rwanda ilishinda mabao 2-1.

No comments :

Post a Comment