Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, December 30, 2009

TAIFA STARS - IVORY COST KARIBUNI MUONE

Wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars wakifanya mazoezi katika uwanja wa karume jijini Dar es Salaam ikiwa ni maandalizi ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Ivory Cost utakaopigwa hapo Januari 4 katika uwanja wa Taifa.
Mwenye mpira ni mchezaji wa kimataifa wa Tanzania anayeichezea klabu ya Vancouver Whitecaps ya nchini Canada, NIzar KhalfANI.
Timu ya taifa ya Ivory Cost inatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam siku ya Jumamosi ambapo itacheza michezo miwili, mchezao wa kwanza itacheza na Taifa Stars Januari 4 na mchezo wa pili itacheza na timu ya taifa ya Rwanda Januari 7.

No comments :

Post a Comment