Wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars wakifanya mazoezi katika uwanja wa karume jijini Dar es Salaam ikiwa ni maandalizi ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Ivory Cost utakaopigwa hapo Januari 4 katika uwanja wa Taifa.
Mwenye mpira ni mchezaji wa kimataifa wa Tanzania anayeichezea klabu ya Vancouver Whitecaps ya nchini Canada, NIzar KhalfANI.
Timu ya taifa ya Ivory Cost inatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam siku ya Jumamosi ambapo itacheza michezo miwili, mchezao wa kwanza itacheza na Taifa Stars Januari 4 na mchezo wa pili itacheza na timu ya taifa ya Rwanda Januari 7.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment